Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
wageni ni muhimu....hasa Samora10........
Preta nasoma katikati ya mistari ngoja nipeleke taarifa kwa mchungaji na shemeji
wageni ni muhimu....hasa Samora10........
Na kongoro la Picnic spesheli kwa jirani yetu
Nikuulize wewe taxi driver wa jirani LOL
Preta nasoma katikati ya mistari ngoja nipeleke taarifa kwa mchungaji na shemeji
ha ha ha ha ha haaa actually MTK bar si mchezo!
Nikikamata raba mtoni ya klorokwini..... ODM atakuwa mgeni wa Preta....... Nikikosa rabamtoni ntaazima makubazi ya Bigirita then Blakiwoman atakuwa mwenyeji wangu. Kama vipi niazime zile mokasini zako nikabembee na Liliflawa au Switiledi........Aisee kumbe? ODM utarudi kwa ajili ya nani vilee?
Hahahaha.......... alikuwa anashindana na mtambo wa TBL? lol
<br />Samahani kwa kuingilia mjadala:<br />
Hivi huwa wanawatoa wapi wale wahudum? Kuna ubaguzi wa ajira pale!
hapana......hapana neno kabisa...hata wao wanajua kuwa mimi ni mkarimu sana na napenda wageni mno.......hata maanonymous mimi huwa nawapenda tu........
Nikikamata raba mtoni ya klorokwini..... ODM atakuwa mgeni wa Preta....... Nikikosa rabamtoni ntaazima makubazi ya Bigirita then Blakiwoman atakuwa mwenyeji wangu. Kama vipi niazime zile mokasini zako nikabembee na Liliflawa au Switiledi........
Samahani kwa kuingilia mjadala:
Hivi huwa wanawatoa wapi wale wahudum? Kuna ubaguzi wa ajira pale!
Tatizo ukarimu wako una mipaka......BTW nitumie namba yako ya simu au Imeili adresi yako nikufowadie yale mafoto.......... waambie na wanaapolo wenzako wote isipokuwa Igweeeeeehapana......hapana neno kabisa...hata wao wanajua kuwa mimi ni mkarimu sana na napenda wageni mno.......hata maanonymous mimi huwa nawapenda tu........
Babu tafadhali alejiHahahaha.......... alikuwa anashindana na mtambo wa TBL? lol
<br />Boko Basihaya pale kuna baa inaitwa Ettiennes....... Yule kaunta anaitwa Oddo ukifika mwambie akupe bia kwa bili ya ODM
Aisee kumbe? ODM utarudi kwa ajili ya nani vilee?