Arusha: Nimejionea mwenyewe ukweli

Kwa nini mawakili wanapenda kujiita mawakili wasomi? Hivi kuna taaluma ambayo wabobezi wake siyo wasomi?
 
Nahisi umetimiza masharti ya mganga wako kuwa lazma uanzishe thredi jf kila siku.
Au highlight point za msingi nione.
 
hawa ndio mawakili wasomi ambao uandishi wao hata hueleweki nchi ina govi hii
 
Hapa hata sijaambulia kitu, sijui ulimaanisha nini hasa
 


Peter hujafika Ngalelo wewe, umeishia Simba hall ,sana sana wewe na jamii yako, (wakaka wasomi) mliishia baa za kahawa mount Meru hotel, The Arusha Hotel na maeneo kama hayo. Tembea tukushindilie bisibisi. But political,socially, hospitality , economically is as you said. Hapa ni kuparangana arifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…