Arusha: Nimejionea mwenyewe ukweli

Arusha: Nimejionea mwenyewe ukweli

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Kisiasa: Arusha ni ngome imara ya CHADEMA. Lakini CCM bado iko imara na inaendelea kuendesha siasa zake za ndani na nje. Wananchi wa Arusha wanashiriki katika siasa za jiji hilo kama sehemu ya maisha yao za kila siku. Kimsingi,hakuna asiyefuatilia siasa pale na nchi nzima. Wana-Arusha ni wanasiasa wa kuzaliwa.

Kiuchumi: Arusha kuna uwekezaji wa kutosha kuanzia mdogo hadi ule mkubwa kabisa. Uchumi wa Arusha unaonekana kwa macho.Hata vijana wa kawaida kabisa ni watafutaji wasiochoka na wanajitahidi kujiepusha na uvivu usio na maana.Lakini kuna changamoto za barabara hasa za mitaa. Hizi bado hazijaimarishwa vya kutosha.

Kijamii: Wana-Arusha ni marafiki, wasemaji wazuri, na wakarimu. Arusha ni tulivu na salama. Kuna changamoto tu kama za Dar na kwingineko za madadapoa.

Kielimu: Sekta hii sijaisoma vizuri kwa muda niliokuwa pale.

Kimichezo: Wana-Arusha ni wafutiliaji na washiriki wazuri wa michezo.

Hongereni wana-Arusha na mtafute suluhisho la changamoto mlizonazo. Asanteni sana kwa kutu-host kwa uzuri Mawakili Wasomi wa nchi hii na nyingine.
 
ccm haipo tena arusha,karibu jiji letu la watu tusio na uoga
 
Kisiasa: Arusha ni ngome imara ya CHADEMA. Lakini CCM bado iko imara na inaendelea kuendesha siasa zake za ndani na nje. Wananchi wa Arusha wanashiriki katika siasa za jiji hilo kama sehemu ya maisha yao za kila siku. Kimsingi,hakuna asiyefuatilia siasa pale na nchi nzima. Wana-Arusha ni wanasiasa wa kuzaliwa.

Kiuchumi: Arusha kuna uwekezaji wa kutosha kuanzia mdogo hadi ule mkubwa kabisa. Uchumi wa Arusha unaonekana kwa macho.Hata vijana wa kawaida kabisa ni watafutaji wasiochoka na wanajitahidi kujiepusha na uvivu usio na maana.Lakini kuna changamoto za barabara hasa za mitaa. Hizi bado hazijaimarishwa vya kutosha.

Kijamii: Wana-Arusha ni marafiki, wasemaji wazuri, na wakarimu. Arusha ni tulivu na salama. Kuna changamoto tu kama za Dar na kwingineko za madadapoa.

Kielimu: Sekta hii sijaisoma vizuri kwa muda niliokuwa pale.

Kimichezo: Wana-Arusha ni wafutiliaji na washiriki wazuri wa michezo.

Hongereni wana-Arusha na mtafute suluhisho la changamoto mlizonazo. Asanteni sana kwa kutu-host kwa uzuri Mawakili Wasomi wa nchi hii na nyingine.
so what??
 
Arusha ccm inachukuliwa kama "fursa"

Watu wakishalamba bingo wanasepa fasta, majibu utakutana nayo kwenye sanduku la kura
 
Kisiasa: Arusha ni ngome imara ya CHADEMA. Lakini CCM bado iko imara na inaendelea kuendesha siasa zake za ndani na nje. Wananchi wa Arusha wanashiriki katika siasa za jiji hilo kama sehemu ya maisha yao za kila siku. Kimsingi,hakuna asiyefuatilia siasa pale na nchi nzima. Wana-Arusha ni wanasiasa wa kuzaliwa.

Kiuchumi: Arusha kuna uwekezaji wa kutosha kuanzia mdogo hadi ule mkubwa kabisa. Uchumi wa Arusha unaonekana kwa macho.Hata vijana wa kawaida kabisa ni watafutaji wasiochoka na wanajitahidi kujiepusha na uvivu usio na maana.Lakini kuna changamoto za barabara hasa za mitaa. Hizi bado hazijaimarishwa vya kutosha.

Kijamii: Wana-Arusha ni marafiki, wasemaji wazuri, na wakarimu. Arusha ni tulivu na salama. Kuna changamoto tu kama za Dar na kwingineko za madadapoa.

Kielimu: Sekta hii sijaisoma vizuri kwa muda niliokuwa pale.

Kimichezo: Wana-Arusha ni wafutiliaji na washiriki wazuri wa michezo.

Hongereni wana-Arusha na mtafute suluhisho la changamoto mlizonazo. Asanteni sana kwa kutu-host kwa uzuri Mawakili Wasomi wa nchi hii na nyingine.

Kielimu unamaanisha arusha hakuna shule, hakuna wasomi au hakuna vyuo.
Kimichezo, unajua arusha hakuna timu ligi kuu? watu wanashabikia yanga na simba na timu za ulaya tu.
 
Back
Top Bottom