Naona kama imeshaipita kwa kweli. Kilimanjaro imepangika kila kona na punde itakua jiji.Ipo siku Kilimanjaro itaipita arusha
Mkuu niko hapa kilimanjaro ndio home lkn kusema kwamba tutaipita Arusha kwa kwel hili halitowezekanaa kabisaaa tenaNaona kama imeshaipita kwa kweli. Kilimanjaro imepangika kila kona na punde itakua jiji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja ya kumshindanisha mtu na ndugu yake.Hizi mbishe za kuishindanisha kilimanjaro na arusha zinanikeraga kwa sababu kote ni sawa na jamii moja na ukienda nje ya arusha na moshi wana tuterm pamoja kama watu wakaskazini pamoja na manyara afu arusha n mji unaokuwa kwa kasi changamoto kama izo lazima ziwepo ndio stendi ndogo ipo ila mahitaji yameshaizidi ungekuyta haipo tungesena ila ipo ilijengwa ila mji unatanuka mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ndio nnachomaniisha kil,aru,manyara ni kitu kimoja hata kiistoria yote ilikuwa arusha kbl ya kugawanywa
Siasa na wanasiasa ndio tatizo...,Hivi kweli uongozi wa jiji la Arusha umeshindwa kujenga stendi ya kisasa ya daladala??? Ni aibu mji huu wa kimataifa kuwa na stendi ya mavumbi katikati ya jiji.
Arusha kuna mashirika ya kimataifa ya EAC, AU, ESAMI na UN pamoja na sekta pana ya utalii.
Nchi inadhalilika sana sababu ya miundombinu mibovu kama hii.
Sent using Jamii Forums mobile app