kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,294
- 2,026
Hivi kweli uongozi wa jiji la Arusha umeshindwa kujenga stendi ya kisasa ya daladala??? Ni aibu mji huu wa kimataifa kuwa na stendi ya mavumbi katikati ya jiji.
Arusha kuna mashirika ya kimataifa ya EAC, AU, ESAMI na UN pamoja na sekta pana ya utalii.
Nchi inadhalilika sana sababu ya miundombinu mibovu kama hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha kuna mashirika ya kimataifa ya EAC, AU, ESAMI na UN pamoja na sekta pana ya utalii.
Nchi inadhalilika sana sababu ya miundombinu mibovu kama hii.
Sent using Jamii Forums mobile app