Arusha na CCM

Jamani tutambue zama hizi si za kuchagua chama!! Ni kuchaguavkiongozi atayetuvusha kulingana na hali ya uchumi wetu.

Ni ajabu kusikia "CHAMA KWANZA WANANCHI BAADAE" Hiyo ni dhana ya kutaka uongozi tu na si maendeleo ya wapiga kura aka wananchi
 

Imefikiri sana mkuu, ni kweli swadakta kabisa ulivyosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…