viccah Member Apr 16, 2012 16 2 Mar 20, 2013 #1 Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
sekulu JF-Expert Member Jan 17, 2011 988 157 Mar 21, 2013 #2 Hahahahaha ila watu wanapata kazi kila siku......jifafanulie.
Mtanga Tc JF-Expert Member Oct 1, 2010 235 84 Mar 21, 2013 #4 viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Mkuu, chungulia kwa Arusha mailing lists....kila siku kuna nafasi zinarushwa na wewe waweza kuweka CVs zako for a possible available vacancy!
viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Mkuu, chungulia kwa Arusha mailing lists....kila siku kuna nafasi zinarushwa na wewe waweza kuweka CVs zako for a possible available vacancy!
barakuda JF-Expert Member Dec 19, 2016 207 193 Jan 24, 2018 #7 Utazeekea hom kusubr kaz...anza hata tubiashara tudogo kaz utakutana nayo mbele kwa mbele...
mtzedi JF-Expert Member Dec 13, 2011 5,628 5,651 Jan 24, 2018 #8 viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Umesoma fani ipi? Jiunge @arushamailing
viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Umesoma fani ipi? Jiunge @arushamailing
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,477 29,191 Jan 24, 2018 #9 viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Watu wa Mikoani ndivyo walivyo
viccah said: Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane. Click to expand... Watu wa Mikoani ndivyo walivyo
Hazchem plate JF-Expert Member Feb 25, 2011 11,046 15,387 Jan 24, 2018 #10 Ushaona wapi Masai wanatangaza Job vacancies
F fanuel nary Senior Member Mar 12, 2014 128 59 Jan 25, 2018 #11 Hazchem plate said: Ushaona wapi Masai wanatangaza Job vacancies Click to expand... hahaha duuh acha utani,wale mitambo maalum ya kulinda nafasi wanapataje?
Hazchem plate said: Ushaona wapi Masai wanatangaza Job vacancies Click to expand... hahaha duuh acha utani,wale mitambo maalum ya kulinda nafasi wanapataje?