johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,528
Ninataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie
Ahsanteni sana
Ahsanteni sana
Yes hii Iko sahihi sanaArusha express, au panda gari mpaka dom hapo kati hukosi ya kwenda mbeya.
Taja jina la Chama utapata riftNinataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie
Ahsanteni sana
Kuna basi hadi za saa mbili usiku hapo Arusha kwenda MbeyaNinataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie
Ahsanteni sana
Si upande ndege?Ninataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie
Ahsanteni sana
Wasafwa mna taabu sana 😂😂Kweli hata waongo na matapeli nao huzeeka.
Mimi siyo msafwa.acha ukabila wako hapa wewe.Wasafwa mna taabu sana 😂😂
Wewe ni Mndali? 😀😀😀Mimi siyo msafwa.acha ukabila wako hapa wewe.
MtanzaniaWewe ni Mndali? 😀😀😀
Nimekuelewa sana msalimie yule Mnyiha Nyagali 😀Mtanzania
Lile jinga tu.Nimekuelewa sana msalimie yule Mnyiha Nyagali 😀
Kaprikoni anaondoka saa 17:00Ninataka kuwahi mkutano wa chama Kesho tafadhali naomba anayejua ratiba ya Mabasi ya kwenda Mbeya kutokea Arusha anisaidie
Ahsanteni sana
Mkutano ni Kesho mchanaSafari ndefu hivyo kwa nin usiende ukalala Dodoma kisha umalizie kipande kilichobaki?
Huu uwe uchaguzi wa mwisho...panazingua sana Dom kwenda Mbeya usikuArusha express, au panda gari mpaka dom hapo kati hukosi ya kwenda mbeya.