Artificial satellite zitakuwa zinatengenezewa hapa Tanzania

Artificial satellite zitakuwa zinatengenezewa hapa Tanzania

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,181
Reaction score
6,214
Nikiwa Rais wa Tanzania kwa mda huu ambao natural satellite bado hazijaanza kutumika ni vizuri tukaanza kuzalisha na kuuza natural satellite zenye uwezo mkubwa sana

Ni kweli kuna uzi nilisema ntapiga marufuku matumizi ya man made satellite na kuweka msisitizo kwenye natural satellite

Project ya kuzifanya natural satellite kuwa active utachukua mda mrefu sababu ndo kwanza ipo kwenye hypothesis yaani wazo

Nimeona DIT wanashirikiana na chuo cha Russia kurusha satellite ni wazi hio satellite ni kwa ajili ya mambo ya elimu na sio mambo sophisticated kama communication, navigation na space exploration

Ni aibu kubwa kuona kuna watu binafsi wanatengeneza na wanarusha mamia ya satellite ilihali sisi kama nchi mpaka sahivi hatutengenezi na haturushi sio sawa yaani hata kutokua na mipango hiyo

Usisahau
 
Mh Raisi. Kama mmoja wa mawaziri wako. Nashaur pia kipind hiki wakat tunasubiriwa kukabithiwa nchi. jiendeleze kielimu. miaka 7 huko mbela una phd yako na watu watakuwa wanaamini hizi tamanio za kimaendeleo ulizonazo.
Swala sio PhD ni maono mfano tuna watu wengi wenye PhD wamefanya nini, mawaziri wengi wana-phd ila bado tuko sehemu ambayo sio nzuri

Siidharau PhD hapana
 
Swala sio PhD ni maono mfano tuna watu wengi wenye PhD wamefanya nini, mawaziri wengi wana-phd ila bado tuko sehemu ambayo sio nzuri

Siidharau PhD hapana
Najua ila pia usidharau maana Degree miaka 7 ijayo ni form four .

Hata kama hawafanyi chochote kizur. ila cheo cha PHd ni heshima sio kila mtu anaweza akawa nayo. and thats make a different .
 
MH Dennis Robert Shughuru .

Kama Raisi Kivuli kwa sasa na Rais ujae wa TZ.

wakat tunampongeza Wazir Gwajima. na ww pia tukupongeze kwa kuvumilia criticims ,challenges,heartbreak na matusi ya aina yoyote uliyokutana nayo.

kama hata hukuwah kuwa kiongoz najua sasahiv unajua how it feels kuwa Kiongozi.

So far. Nimeona positive perspective ndio nguzo yako kuu uliyonayo (mfan Elon Musk). Pia along the way utagundua other attributes za kukufanya uwe Kiongozi bora kama vile unavyojiona.

Kila la kheri bro. Rais wangu wa JF.
Na Raisi Kivuli wa TZ

Nakala.kwa mawaziri wote
cc Evelyn Salt
 
MH Dennis Robert Shughuru .

Kama Raisi Kivuli kwa sasa na Rais ujae wa TZ.

wakat tunampongeza Wazir Gwajima. na ww pia tukupongeze kwa kuvumilia criticims ,challenges,heartbreak na matusi ya aina yoyote uliyokutana nayo.

kama hata hukuwah kuwa kiongoz najua sasahiv unajua how it feels kuwa Kiongozi.

So far. Nimeona positive perspective ndio nguzo yako kuu uliyonayo (mfan Elon Musk). Pia along the way utagundua other attributes za kukufanya uwe Kiongozi bora kama vile unavyojiona.

Kila la kheri bro. Rais wangu wa JF.
Na Raisi Kivuli wa TZ

Nakala.kwa mawaziri wote
cc Evelyn Salt
Ahsante, nashukuru na uliyoniambia ntayafanyia kazi
 
MH Dennis Robert Shughuru .

Kama Raisi Kivuli kwa sasa na Rais ujae wa TZ.

wakat tunampongeza Wazir Gwajima. na ww pia tukupongeze kwa kuvumilia criticims ,challenges,heartbreak na matusi ya aina yoyote uliyokutana nayo.

kama hata hukuwah kuwa kiongoz najua sasahiv unajua how it feels kuwa Kiongozi.

So far. Nimeona positive perspective ndio nguzo yako kuu uliyonayo (mfan Elon Musk). Pia along the way utagundua other attributes za kukufanya uwe Kiongozi bora kama vile unavyojiona.

Kila la kheri bro. Rais wangu wa JF.
Na Raisi Kivuli wa TZ

Nakala.kwa mawaziri wote
cc Evelyn Salt
Jamaa ana guts na ujasiri tumezoea wengi wetu tumejificha kwenye majina bandia sio kosa ila jamaa kaonyesha utofauti

Asilimia karibia mia wanaotumia majina halisi jamikforum ni machawa ni wachache sana ambao wanatumia utambulisho wao na wakawa na uwezo wa kusema ntafanya hiki, kile, yaani amejikita kwenye mipango yake na sio kukosoa serikali ya samia
 
Back
Top Bottom