Inaitwa architecture a.k.a akikesha au archtoture!
Ni mziki mnene wa miaka mitano kwa ardhi university.
Kukesha siku tatu studio kupambana na project ni swala la kawaida kabisa.
Inahitaji moyo na kupenda kile anachokifanya.
Otherwise, ni course ya kibabe sana. Mwambie ajiandae kupiga shule na sio kwenda kuuza sura.
Ni hayo tu