Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,905 Dec 27, 2012 Thread starter #4 kashesho said: naona maruerue Click to expand... sio maruweruwe ni picha
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,995 94,017 Dec 27, 2012 #8 awp said: naona vimiguu na mikono, Click to expand... kuna viwili wili na vichwa pia....
englibertm JF-Expert Member May 1, 2009 9,252 6,207 Dec 27, 2012 #10 mbona naona wamekumbatia kitu kama wanapiga show vile
C Criterion JF-Expert Member Jan 8, 2008 11,798 11,881 Dec 27, 2012 #11 Bujibuji nilisikia ulikuwa Dodoma, umerudi lini jf?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,905 Dec 27, 2012 Thread starter #12 Tabby said: Bujibuji nilisikia ulikuwa Dodoma, umerudi lini jf? Click to expand... Mbona nasikia yuko Bagamoyo kawakimbia wanawake zake waliokuwa wakimdai nguo za sikukuu
Tabby said: Bujibuji nilisikia ulikuwa Dodoma, umerudi lini jf? Click to expand... Mbona nasikia yuko Bagamoyo kawakimbia wanawake zake waliokuwa wakimdai nguo za sikukuu
C Criterion JF-Expert Member Jan 8, 2008 11,798 11,881 Dec 27, 2012 #13 giLESi said: Mbona nasikia yuko Bagamoyo kawakimbia wanawake zake waliokuwa wakimdai nguo za sikukuu Click to expand... Unatsema kweli. Hata kwenye simu inapatikana mara moja usiku ya manane kama watu wote nakuwa wamelala!. Viva Bujibuji!
giLESi said: Mbona nasikia yuko Bagamoyo kawakimbia wanawake zake waliokuwa wakimdai nguo za sikukuu Click to expand... Unatsema kweli. Hata kwenye simu inapatikana mara moja usiku ya manane kama watu wote nakuwa wamelala!. Viva Bujibuji!