kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,036
- 330
Timu yetu Arsenal! Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji...
-Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
-Kim Kardashian alikuwa bikra
-Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa
Tandale
-Nick Minaj alikuwa flat kama Muhindi
-TBC ilikuwa inaitwa TVT
-Nokia 3310 ndo ilikuwa simu ya kifahari
-Mtandao wa tiGO ulikuwa ukiitwa Mobitel
-Airtel ilikuwa ikiitwa Celtel
-Mbeya ilikuwa ikiitwa Manispaa
-Noti ya tsh 10,000/= ilikuwa ya bluu
-Daz Nundaz ndo lilikuwa kundi maarufu la
Bongo fleva
-Misanya Bingi ndo alikuwa presenter mkali
Bongo
-Clouds FM ilikuwa haisikiki zaidi ya Mbezi
Luis
-Nauli Dar-Mbeya ilikuwa buku nane
-Soda ilikuwa sh 250.
-Osama alikuwa mapangoni Kandahar
-Wilshere alikuwa mwokota mipira
-Papa John Paul II ndo alikuwa kiongozi wa
Katoliki
-The bold and the beautiful ndo ilikuwa
tamthiliya kali Bongo.
-Tanzania bara ilikuwa na mikoa 20.:O
-Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
-Kim Kardashian alikuwa bikra
-Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa
Tandale
-Nick Minaj alikuwa flat kama Muhindi
-TBC ilikuwa inaitwa TVT
-Nokia 3310 ndo ilikuwa simu ya kifahari
-Mtandao wa tiGO ulikuwa ukiitwa Mobitel
-Airtel ilikuwa ikiitwa Celtel
-Mbeya ilikuwa ikiitwa Manispaa
-Noti ya tsh 10,000/= ilikuwa ya bluu
-Daz Nundaz ndo lilikuwa kundi maarufu la
Bongo fleva
-Misanya Bingi ndo alikuwa presenter mkali
Bongo
-Clouds FM ilikuwa haisikiki zaidi ya Mbezi
Luis
-Nauli Dar-Mbeya ilikuwa buku nane
-Soda ilikuwa sh 250.
-Osama alikuwa mapangoni Kandahar
-Wilshere alikuwa mwokota mipira
-Papa John Paul II ndo alikuwa kiongozi wa
Katoliki
-The bold and the beautiful ndo ilikuwa
tamthiliya kali Bongo.
-Tanzania bara ilikuwa na mikoa 20.:O