arsenal, arsenal,arsenal............

arsenal, arsenal,arsenal............

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
Timu yetu Arsenal! Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji...
-Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
-Kim Kardashian alikuwa bikra
-Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa
Tandale
-Nick Minaj alikuwa flat kama Muhindi
-TBC ilikuwa inaitwa TVT
-Nokia 3310 ndo ilikuwa simu ya kifahari
-Mtandao wa tiGO ulikuwa ukiitwa Mobitel
-Airtel ilikuwa ikiitwa Celtel
-Mbeya ilikuwa ikiitwa Manispaa
-Noti ya tsh 10,000/= ilikuwa ya bluu
-Daz Nundaz ndo lilikuwa kundi maarufu la
Bongo fleva
-Misanya Bingi ndo alikuwa presenter mkali
Bongo
-Clouds FM ilikuwa haisikiki zaidi ya Mbezi
Luis
-Nauli Dar-Mbeya ilikuwa buku nane
-Soda ilikuwa sh 250.
-Osama alikuwa mapangoni Kandahar
-Wilshere alikuwa mwokota mipira
-Papa John Paul II ndo alikuwa kiongozi wa
Katoliki
-The bold and the beautiful ndo ilikuwa
tamthiliya kali Bongo.
-Tanzania bara ilikuwa na mikoa 20.:O
 
mimi Arsenal dam dam, naona Arsenal inahitaji mawazo mapya fikra mpya na kocha mpya. Wenga anakonda tu jamani.
Back to the tpoic. Mara ya mwisho Arsenal kuchukuc kikombe
----mimi nilikua second year
----Semister nzima pesa za stationary tulikua tunapewa laki na ishirini
-----boom ilikua 2,500 kwa siku
-----Hakukua na bodi ya mikopo
-----my mum was alive 🙁
-----Special school bado zilikuwepo
-----Division 4 ilikua ni kufeli
------Ukipata div zero unapata cheti cha academic
------Usharobaro ilikua hakuna sana
------wabana pua wa bongo fuleva walikua hakuna au wachache sana
------gharama za bidhaa zilikua sio kubwa kivile
 
nilikuwa bado nalipa nauli ya sh 50 nilikuwa sina simu ya mkononi nilikuwa naishi kwa baba na mama mkuu wa mkoa alikuwa makamba chadema haikuwa kambi rasmi ya upinzani jamii forum haikuwepo! nilikuwa bado bikra zanzibar walikuwa hawachomi makanisa
 
hahahahaha,, wakuu hii thread ni noma,, mi shabiki wa arsenal lkn kwa mwendo huu hapana,, nimeikimbia timu, ugonjwa wa moyo ule
 
dah ni zamani sana enzi hizo nilikuwa darasa la sita,so arsenal wajipange sana
 
Kwahiyo arsenal ndo timu yenye rekodi mbaya kuliko timu zote za ulaya au sio?
 
gesi ilikuwa ya songosongo sio hii ya msambiti inayogomvaniwa
jj alikuwa bado anasoma BBA masomo ya jioni pale udsm
jk alikuwa waziri wa mambo ya nje safari za nje zilikuwa hazimat kama leo
 
Hamieni Manchester United ebo! Lima panapomea mwanawane.
 
Timu yetu Arsenal! Mara ya mwisho Arsenal kutwaa taji...
-Rais wa Tanzania alikuwa Mkapa
-Kim Kardashian alikuwa bikra
-Diamond alikuwa anaitwa Nassib Domo wa
Tandale
-Nick Minaj alikuwa flat kama Muhindi
-TBC ilikuwa inaitwa TVT
-Nokia 3310 ndo ilikuwa simu ya kifahari
-Mtandao wa tiGO ulikuwa ukiitwa Mobitel
-Airtel ilikuwa ikiitwa Celtel
-Mbeya ilikuwa ikiitwa Manispaa
-Noti ya tsh 10,000/= ilikuwa ya bluu
-Daz Nundaz ndo lilikuwa kundi maarufu la
Bongo fleva
-Misanya Bingi ndo alikuwa presenter mkali
Bongo
-Clouds FM ilikuwa haisikiki zaidi ya Mbezi
Luis
-Nauli Dar-Mbeya ilikuwa buku nane
-Soda ilikuwa sh 250.
-Osama alikuwa mapangoni Kandahar
-Wilshere alikuwa mwokota mipira
-Papa John Paul II ndo alikuwa kiongozi wa
Katoliki
-The bold and the beautiful ndo ilikuwa
tamthiliya kali Bongo.
-Tanzania bara ilikuwa na mikoa 20.:O
Wakati arsenal ikiwa inatwaa ubingwa na vikombe kadhaa hizo timu zenu wengine ambazo mnashabikia ubingwa leo zilikuwa hazijulikani kabisa. Wewe ni limbukeni tu na mhamiaji haramu. Ya arsenal waachie wenyewe.
Mbona nchi yako ina udhaifu mwingi compared with other country lakini huhami upo tu.
Viva arsenal vivaaaaaa!
 
Hamieni Manchester United ebo! Lima panapomea mwanawane.
Timu hizo mliko mnaitwa wahamiaji haramu na malimbukeni tulieni kwenye timu zenu mtahama timu mpaka lini?.
Haya ni mambo ya muda tu yapo mambo mengi zaidi ya vikombe ambayo arsenal wamefanikisha.
Zipo timu ziko vibaya lakini hawarushiwi vijembe namna hiyo, mmekosewa nini na mashabiki wa arsenal?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom