Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,240
- 4,869
Tunatak kuionesha Dunia kua LA Albiceleste hii ni tishio na tuko tyr kupambana kwa jasho na damu.
#Qatar2022 We're Ready
#Qatar2022 We're Ready
Hii ndoo tunapeleka nyumbani mapema kbs watu wasbr tu kuona tunanyanyua makwapaArgentina bingwa wa world cup 2022.
Martinezi umemuacha ??Tunatak kuionesha Dunia kua LA Albiceleste hii ni tishio na tuko tyr kupambana kwa jasho na damu.
#Qatar2022 We're Ready View attachment 2413853
Defence ya mwaka huu INA uhai kidogo tofauti na kipindi hicho.....pia sasahivi walau damu changa ni za kutoshaMy worry ipo kwenye defence hata last world Cup defence ilitutoa kwenye michuano hii sijui kwa sasa
Yeah mpaka siku mwali anabebwaNakwenda na hili chama mpaka mwisho ,mwisho kabisaa.
Argentina uwezo wanao tuombee bahati iwe upande wao
Hakuna wa kutuzuia kombe letu hili tumengoja kwa mda mrefu Sana Sasa ni zamu yetu... Pengine tujiandae kuzuia kutokwa na machozi ya furaha siku mfalme wa soka Lionel Messi atakaponyanyua ndoo akilia kwa hisia baada ya kudhihakiwa kwa mda mrefu sasaArgentina uwezo wanao tuombee bahati iwe upande wao
Asee fingers ziko crossed sana mkuu.. Kama Mungu anasikia maombi yetu bas ni wakati wetu Pa1 na mchezaj bora wa Dunian wa mda wote kushinda kila kitu kwny maisha yake wkt ndo sasa na tupambana kwa jasho la damu.Hakuna wa kutuzuia kombe letu hili tumengoja kwa mda mrefu Sana Sasa ni zamu yetu... Pengine tujiandae kuzuia kutokwa na machozi ya furaha siku mfalme wa soka Lionel Messi atakaponyanyua ndoo akilia kwa hisia baada ya kudhihakiwa kwa mda mrefu sasa