Are you in relationship as marriage or just entertainment?

Are you in relationship as marriage or just entertainment?

Mwinjilist mtume nabii

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
2,437
Reaction score
1,099
Bwana yesu asifiwe wapendwa,

Jamani mimi nimeona watu wengi wanaingia kwenye mahusiano bila kujua kama unaingia kivipi, maana usipojua ndio ile unajikuta kijana unatumia gharama kubwa.Alafu mwisho wa siku ukiachwa unaanza kulalamika na hata kumchukia mdada. Au unajikuta unagundua kuwa kuna kamchepuko kisha mnaanza ugomvi.

Ninawashauri ni vizuri ukalijua mapema itakupunguzia gharama na hata mdada hatakuwa anakubana sana katika matumizi maana mtakuwa na mipango ya maendeleo. Ebu jiulize mwenyewe sasa upo na huyo kivipi?

Na kama just entertainment ujue hiyo temporary na muda wowote na kwasababu yoyote uhusiano utakoa ghafla. Na hiyo inaleta tabia mbaya maana kwa mwaka unaweza kuwa umeingia kwenye mahusiano na watu hata zaidi ya 20.

Chukua tahadhari
 
Mi wote nilokuwa nao hawanakuwa na mpango au hawakueleweka. Mbeleee tembea, huyu wa sasa nae kama haeleweki hivyo namkata natulia
 
Mi wote nilokuwa nao hawanakuwa na mpango au hawakueleweka. Mbeleee tembea, huyu wa sasa nae kama haeleweki hivyo namkata natulia

Hamna haja ya kung'ang'aniana km siafu......siku hizi watu hawasomeki
 
There are million reasons why people are getting married
1. To protect the family wealth
2. To get the little copies of themselves
3. To get the material things & be the part of the beneficiaries
4. To do what the society wants u to do eg:- u r growing old & yet u r nt getting married
5. To get an assistance on all house duties
e.t.c
 
Asante kwa ushauri mzuri&ubarikiwe.Ni kweli lazima ujue uhusiano wenu uko vipi!asante sana!
 
Nakubaliana na we ya nini kushikilia lisilo na manufaa kupotezeana muda bure tu
 
Dah kweli mkuu inatakiwa kujua kuwa uhusiano ulionao mbeleni itakuwa vipi au ndo ile ya kusuuza rungu tu,,,,,,over
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom