Na mimi nilileta painting ambazo ndio unazokutana kwenye makanisa mpaka leo.Nani awe na adabu sasa,acha jazba mazee...Ni vizuri ukaanza kuangalia post moja baada ya nyingine kwanza na pia usikilize kile kinachoelezwa kwenye hizo clips badala ya kukurupuka na kuanza kulialia hapa
Kama ni clips na mimi ziko nyingi kuelezea upuuzi wenu wakuamini kitu ambacho hakina uhakika.
Painting zinaelezea hali ilivyokua siku hizo za mwanzo na mnazitumia makanisani mwenu nyie theist, wengi wao mkizitumia kama hoja yakuruhusu kuoana wanaume kwa kwa wanaume makanisani.
Youtube clips haisemi chochote kushinda maandishi ya kale.
Ina maana akili zenu zimeanzia juzi kwenye karne yakutengeneza video nakuweka youtube?