msijeshangaa mkiambiwa ikulu iko rehani
Mbarali muwekezaji kajiongezea shamba kwa kuingilia maeneo ya vijiji,muwekezaji mwenyewe hana uwezo hata wa kuendeleza shamba alilouziwa,amebakia ku kodisha vipande vipande vya wananchi walewale walionyang'anywa akapewa yeye...rukwa huko watu 154,000 wamehamishwa bila ridhaa yao kupisha muwekezaji wa biofuel...tunapoelekea ni kukatana mapanga ndio serekali itaelewa uonevu wa namna hii hatuutaki