KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Kadri serikali ilivyowakumbatia waporaji wa rasilimali.
Ukiwa na hela zako ni rahisi kumiliki mahekta ya ardhi kama unavyoweza kununua kanzu dukani. Rejea Loliondo, Kilosa, Ranchi za Misenyi na hapo ulipo tayari pameuzwa.
Yaani kwa jinsi walivyolaaniwa wameuza hata 'mboga' ya ziwa Victoria.
Ukiwa na hela zako ni rahisi kumiliki mahekta ya ardhi kama unavyoweza kununua kanzu dukani. Rejea Loliondo, Kilosa, Ranchi za Misenyi na hapo ulipo tayari pameuzwa.
Yaani kwa jinsi walivyolaaniwa wameuza hata 'mboga' ya ziwa Victoria.