ardhi university

jofizo

Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
35
Reaction score
8
aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwl naona upo Ardhi maana hlo jna
 
aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sisi tulikuwa tunamwita "Mwaki"
Ametuchoresha sana juani Mwaka wa Kwanza Study Tour!! Architecture ya Urusi imelala pale!! He is such a gentleman na funny!! Yuko poa sana jamaa hasa kwenye zile basics za design studio!!
 
kwel kabisa jamaa unamuelew fresh mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…