jofizo Member Nov 5, 2016 35 8 Dec 11, 2016 #1 aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
Scale JF-Expert Member Apr 6, 2014 2,086 2,547 Dec 12, 2016 #4 jofizo said: aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile Click to expand... Sisi tulikuwa tunamwita "Mwaki" Ametuchoresha sana juani Mwaka wa Kwanza Study Tour!! Architecture ya Urusi imelala pale!! He is such a gentleman na funny!! Yuko poa sana jamaa hasa kwenye zile basics za design studio!!
jofizo said: aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile Click to expand... Sisi tulikuwa tunamwita "Mwaki" Ametuchoresha sana juani Mwaka wa Kwanza Study Tour!! Architecture ya Urusi imelala pale!! He is such a gentleman na funny!! Yuko poa sana jamaa hasa kwenye zile basics za design studio!!