jofizo Member Joined Nov 5, 2016 Posts 35 Reaction score 8 Dec 11, 2016 #1 aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile
Pamputi JF-Expert Member Joined Apr 22, 2016 Posts 982 Reaction score 724 Dec 11, 2016 #2 kwl naona upo Ardhi maana hlo jna
jofizo Member Joined Nov 5, 2016 Posts 35 Reaction score 8 Dec 11, 2016 Thread starter #3 Hee mkuu umesoma hapo au
Scale JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 2,122 Reaction score 2,658 Dec 12, 2016 #4 jofizo said: aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile Click to expand... Sisi tulikuwa tunamwita "Mwaki" Ametuchoresha sana juani Mwaka wa Kwanza Study Tour!! Architecture ya Urusi imelala pale!! He is such a gentleman na funny!! Yuko poa sana jamaa hasa kwenye zile basics za design studio!!
jofizo said: aliyesoma ardhi university au anayesoma sasa HV pale kozi ya architecture anielezeee kuhusu Mzee mwakipesile Click to expand... Sisi tulikuwa tunamwita "Mwaki" Ametuchoresha sana juani Mwaka wa Kwanza Study Tour!! Architecture ya Urusi imelala pale!! He is such a gentleman na funny!! Yuko poa sana jamaa hasa kwenye zile basics za design studio!!
jofizo Member Joined Nov 5, 2016 Posts 35 Reaction score 8 Dec 12, 2016 Thread starter #5 kwel kabisa jamaa unamuelew fresh mkuu
jofizo Member Joined Nov 5, 2016 Posts 35 Reaction score 8 Dec 12, 2016 Thread starter #6 anatak wanja mzeee noma