lupe leonard
Member
- May 29, 2016
- 53
- 15
hivi hiki chuo chenyewe huwa kinakua cha mwisho kutoa post...almost vyuo vyote vya serikali na private vimefika 20 lkn sijaona ardhi sua wala mzumbe...watoe basi...
Nimiongoni mwavyuo vilivyoongoza kuombwa.ikiwemo udsm ardhi na muhacTulia dogo....Chuo makini hiko!! hukumsikia kaimu wa TCU Prof Mwageni alivyosema hiko ni chuo kilichoongoza kuombwa sana na wanafunzi...So kuwa mpole!
Unatoa taarifa au?Nimiongoni mwavyuo vilivyoongoza kuombwa.ikiwemo udsm ardhi na muhac
acha wenge dogo haraka ya nini, kwani profile yako haikuambii umechaguliwa wapi?hivi hiki chuo chenyewe huwa kinakua cha mwisho kutoa post...almost vyuo vyote vya serikali na private vimefika 20 lkn sijaona ardhi sua wala mzumbe...watoe basi...
