Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,821
Je umekwisharoot Android device yako (Smartphone/Tablet)
Topic za Android Rooting imekuwa zikijadiliwa sana hapa jukwaani. Lakini mtu anaweza akawa amesharoot simu yake lakini asifahamu kwamba kuna apps muhimu sana za kuttumia kwenye simu yako kama una root access. Nitaziainisha baadhi ya apps nilizoziona muhimu sana.
1. AdAway
Advertisements nyingi utazikuta kwenye apps zinazotolewa kama free version. Kwa hiyo developers wataweka support y aAds kukuinfluence wewe kununua apps zao. Kwa hiyo, App hii itakusaidia kuondoa matangazo yote yanayokuwa yanakusumbua pindi utumiapo Apps au ukicheza games mbalimbali.
2. Uninstall Master
Ukiwa na Application hii, Utaweza kuondoa bloatwares zote pamoja na system apps usizozitaka/usizozitumia. Ni vizuri kuwa mwangalifu kwa kuwa unaweza ukabrick device yako endapo utafuta system files muhimu.
3. Greenify
App hii ni muhimu sana katika kupunguza matumizi ya battery yasiyo ya muhimu. App hii inaziweka sleep mode apps zote zinazokuwa zinarun background na kutumia kiasi kikubwa cha power katika simu yako.
4. ROM Manager
Kama umesharoot simu yako na unataka kuingia kwenye ulimwengu wa Custom ROMs, ninakushauri utumie app hii. App hii inapatikana kwa free na Premium versions. App hii itaweza kukusaidia Kubackup stock ROM yako, incase kama utapenda kuja kuitumia tena. Itakusaidia kukutafutia custom recovery kwa ajili ya simu yako na kuiflash. Itakusaidia kufanya partition ya SD Card yako. Pia kikubwa kabisa nilichopenda katika hii app ni kwamba, kama unatumia premium version, app hii itakupatia Custom ROMS zote ziapatikanazo kwa simu yako.
5. Avast Anti-Theft
Kwa wale mliochoka na wezi wa simu app hii itakusaidia; kutrack na kulocate simu yako iliyopotea,kulock au kuwipe vitu vyote kwenye simu yako mengine mengi kama kurecord au kuchukua picha za eneo simu yako ilipo kupitia simu yako. App hii itakutaarifu haraka kwa email endapo line yako itaondolewa kwenye simu yako (kubadilishwa)
6. Recovery Tools
App hii inafanana kidogo na ROM Manager kwa feature moja, ni kwamba app hii ipo advanced zaidi katika kuweka recoveries. App hii itasearch recovery images online kisha itaorodhesha recovery zote zinazopatikana kwa simu yako. Kama utapenda TWRP, Clockworkmod, Phils na hata ukitaka kuweka Stock Recovery yako tena. Na hata kama utapenda kuweka recovery iliyopo kwenye storage yako, eg. SD Card utaumia app hii kulocate na kuflash recovery images yako.
Apps nyingine muhimu ni kama Lucky Patcher. Ambayo inafanya patches kwenye apps mbalimbali kuzuia license verification. App hii imejulikana sana baada ya kuweza kupatch premium app maarufu sana ya music iitwayo Poweramp.
Topic za Android Rooting imekuwa zikijadiliwa sana hapa jukwaani. Lakini mtu anaweza akawa amesharoot simu yake lakini asifahamu kwamba kuna apps muhimu sana za kuttumia kwenye simu yako kama una root access. Nitaziainisha baadhi ya apps nilizoziona muhimu sana.
1. AdAway
Advertisements nyingi utazikuta kwenye apps zinazotolewa kama free version. Kwa hiyo developers wataweka support y aAds kukuinfluence wewe kununua apps zao. Kwa hiyo, App hii itakusaidia kuondoa matangazo yote yanayokuwa yanakusumbua pindi utumiapo Apps au ukicheza games mbalimbali.
2. Uninstall Master
Ukiwa na Application hii, Utaweza kuondoa bloatwares zote pamoja na system apps usizozitaka/usizozitumia. Ni vizuri kuwa mwangalifu kwa kuwa unaweza ukabrick device yako endapo utafuta system files muhimu.
3. Greenify
App hii ni muhimu sana katika kupunguza matumizi ya battery yasiyo ya muhimu. App hii inaziweka sleep mode apps zote zinazokuwa zinarun background na kutumia kiasi kikubwa cha power katika simu yako.
4. ROM Manager
Kama umesharoot simu yako na unataka kuingia kwenye ulimwengu wa Custom ROMs, ninakushauri utumie app hii. App hii inapatikana kwa free na Premium versions. App hii itaweza kukusaidia Kubackup stock ROM yako, incase kama utapenda kuja kuitumia tena. Itakusaidia kukutafutia custom recovery kwa ajili ya simu yako na kuiflash. Itakusaidia kufanya partition ya SD Card yako. Pia kikubwa kabisa nilichopenda katika hii app ni kwamba, kama unatumia premium version, app hii itakupatia Custom ROMS zote ziapatikanazo kwa simu yako.
5. Avast Anti-Theft
Kwa wale mliochoka na wezi wa simu app hii itakusaidia; kutrack na kulocate simu yako iliyopotea,kulock au kuwipe vitu vyote kwenye simu yako mengine mengi kama kurecord au kuchukua picha za eneo simu yako ilipo kupitia simu yako. App hii itakutaarifu haraka kwa email endapo line yako itaondolewa kwenye simu yako (kubadilishwa)
6. Recovery Tools
App hii inafanana kidogo na ROM Manager kwa feature moja, ni kwamba app hii ipo advanced zaidi katika kuweka recoveries. App hii itasearch recovery images online kisha itaorodhesha recovery zote zinazopatikana kwa simu yako. Kama utapenda TWRP, Clockworkmod, Phils na hata ukitaka kuweka Stock Recovery yako tena. Na hata kama utapenda kuweka recovery iliyopo kwenye storage yako, eg. SD Card utaumia app hii kulocate na kuflash recovery images yako.
Apps nyingine muhimu ni kama Lucky Patcher. Ambayo inafanya patches kwenye apps mbalimbali kuzuia license verification. App hii imejulikana sana baada ya kuweza kupatch premium app maarufu sana ya music iitwayo Poweramp.