Ishu ya barua ni vizuri ukangalia na tasisi wanasemaje km kutype au kwa mkono.. wakisema andika kwa mkono fanya na km hawasema ouky. Kutozingatia hayo yaweza kuwa sababu ya kuchujwa mapema. Kwa utumishi wao ni both sides, me nlichapa na nkaitwa kazini.. mhimu angalia instructions tu.