ni kwel inabid iwe na MB1 kushuka chini sasa sijui watu wameshindwa kusoma hapo.weng wanalazimisha iwe na MB 1 wakat hata ikiwa n KB inakua haina shida.ilimrad tu iwe na 120px 150px bas
wakuu hivi form ikiwa submitted ndo inakua hivi au inakuaje.
na kama sio hivo basi mtu ambaye yakwakwe iko submitted naomba atume picha yake niweze kujua inakuaje yaan ina kua na muonekano gani.mana hapa nilipo sijui kama ipo submitted aise
wakuu hivi form ikiwa submitted ndo inakua hivi au inakuaje.
na kama sio hivo basi mtu ambaye yakwakwe iko submitted naomba atume picha yake niweze kujua inakuaje yaan ina kua na muonekano gani.mana hapa nilipo sijui kama ipo submitted aise View attachment 2741734
Kwa sasa ninapata changamoto ya ku-save taarifa za wazazi wa mwanafunzi. Yaani ninajaza taarifa za wazazi, ninapo submit, inazunguka tu bila kufika mwisho.
Kwenye education info kama mtu katokea form 4 then 6 then baada ya kuto paform ipasavyo form six akaenda diploma so now pale post after form four inatakiwa nijaze dipoma au advanced
Kwenye education info kama mtu katokea form 4 then 6 then baada ya kuto paform ipasavyo form six akaenda diploma so now pale post after form four inatakiwa nijaze dipoma au advanced