Application ya kutokupatikana hewani while simu iko on

kama ni kwa watu wote simu yoyote inaweza fanya hivyo, hio setting inaitwa call baring ukieka on mtu yoyote hakupati ukieka off watu wote watakupata

Natumia xperia m,haina call bearing ina call block nadhani ni the same thing ila tatizo linakuja nikiweka enable kwenye all incoming calls inaniomba password na nikiweka password inagoma,Help brother
 
Natumia xperia m,haina call bearing ina call block nadhani ni the same thing ila tatizo linakuja nikiweka enable kwenye all incoming calls inaniomba password na nikiweka password inagoma,Help brother

umejaribu generic password kama 12345 au 1234 au 0000
 

kama unatumia tiGO
kufunga: *35*0000#
kufungua: #35 *0000#. Hapo internate utaendelea kuipata na whatsapp kama kawa
sijajua mitandao mingine inakuaje
 
kama unatumia tiGO
kufunga: *35*0000#
kufungua: #35 *0000#. Hapo internate utaendelea kuipata na whatsapp kama kawa
sijajua mitandao mingine inakuaje

Bad lucky natumia airtel ila thanks kwa ushirikiano wako mkuu
 
ok.....kuna option ya "add to reject list"
so chagua namba unayotaka then add it to reject list!
 
Download app za blacklist zipo nyingi na zina opp nyng zaidi
 
ok.....kuna option ya "add to reject list"
so chagua namba unayotaka then add it to reject list!

Iyo option haipo mkuu kuna reject call with mesages tu
 
Ngoja nijaribu iyo option ya kudownload call blacklist WayOut
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…