KIMBWANGAI
Member
- Mar 7, 2012
- 75
- 22
Wakuu naomba msaada wa procedures na vitu muhimu vya kuwa navyo ili kufanya application ya bachelor degree kwa kutumia diploma certificates.
Nina diploma ya police science nataka kusoma LLB au BALE
Hiyo kozi inatolewa chuo ganiNina diploma ya police science nataka kusoma LLB au BALE
Dar es salaam police collage (NTA level 6)Hiyo kozi inatolewa chuo gani
Sawa shukraniDar es salaam police collage (NTA level 6)
Zanzibar police collage (NTA level 5)
Tanzania police school (NTA level 4)
Nimezi-search mtandaoni nimezikuta kama hivyo ila sijapata maelezo zaidi kuhusu vigezo na masharti ya kujiunga.