Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,491
Kampuni ya apple leo itakua na uzinduzi wa bidhaa zake mpya zitakazoingia sokoni. Bidhaa hzo ni kama iphone 13, iphone 13 min, iphone 13 pro na iphone 13 pro max.
Apple wamesema iphone 13 haitakua na mwonekano mpya hvo toleo hili wamejikita katika kuboresha camera kuwa na uwezo mkubwa, procesa yenye spidi na betri ambayo itakaa kwa muda mrefu.
Bidhaa zingine zitakazo tambulishwa ni apple watch, macbook, airpod na ipad
Kikubwa zaidi ni ujio wa ios 15 kwenye iphone 13, tukio litaanza saa2 usiku kwa Africa mashariki. Kazi kwenu.
Apple wamesema iphone 13 haitakua na mwonekano mpya hvo toleo hili wamejikita katika kuboresha camera kuwa na uwezo mkubwa, procesa yenye spidi na betri ambayo itakaa kwa muda mrefu.
Bidhaa zingine zitakazo tambulishwa ni apple watch, macbook, airpod na ipad
Kikubwa zaidi ni ujio wa ios 15 kwenye iphone 13, tukio litaanza saa2 usiku kwa Africa mashariki. Kazi kwenu.
