Siachi hela Senior Member Joined Jun 17, 2022 Posts 136 Reaction score 249 Apr 5, 2023 Thread starter #21 Watu wengi hawajaelewa wanazani ni suala la kumfatilia mpenzi. Ieleweke lengo ni kutaka kujua location na kumfatilia mtu unaeyehitaji kumpata. Hii inasaidia Sana inapotokea mtu kakuibia na akatoroka, namna bora ya kumpata ni kuwa na app kama hizi.
Watu wengi hawajaelewa wanazani ni suala la kumfatilia mpenzi. Ieleweke lengo ni kutaka kujua location na kumfatilia mtu unaeyehitaji kumpata. Hii inasaidia Sana inapotokea mtu kakuibia na akatoroka, namna bora ya kumpata ni kuwa na app kama hizi.
Buntungwa JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 549 Reaction score 310 Aug 23, 2023 #22 NiggaPac said: Kuna app hizo unaweka namba ya simu tu mzigo wote unakuwa unatumiwa Click to expand... hiii ndio naitaka mimi
NiggaPac said: Kuna app hizo unaweka namba ya simu tu mzigo wote unakuwa unatumiwa Click to expand... hiii ndio naitaka mimi