App lock yaniharibia ndoa yangu

Alieharibu ndo yako Ni wewe mwenyewe...Hiyo App sio sababu.nakuombea huo uume wako ujae mavi kwa kula tigo uje utuhadithie kilichokupata.... It's just a matter of time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi kachukia naye kumnyima mtandao pendwa wakati wengine unawapa bure.
 
App lock inatumia password moja mbona kwangu mkuu, yani ni wewe ku-unlock app unazopenda tu.
Hiyo yako kila app na password yake?
 
Kuna tangazo ITV, leo jioni saa moja, kipindi cha afya yako, mke na mme wana afya eti wana ngoma, huwezi amini, yule mwanamke mashaallah kabisa, ila ndo ivo anasema anaishi kwa ngoma.
 
Kuna tangazo ITV, leo jioni saa moja, kipindi cha afya yako, mke na mme wana afya eti wana ngoma, huwezi amini, yule mwanamke mashaallah kabisa, ila ndo ivo anasema anaishi kwa ngoma.
Unakuta kaletewa ndani Dada wa watu, binafsi naondoka zangu kwa maana siwezi kukufunga dude lako hilo usilitembeze
 
Broo umeshindwa kununua kitochi usajili line mpya uwe unaiweka simu yako kwenye kabati la ofisi daaaah pole sana mchepuko usimuunganishe na namba yako private tafuta ka simu ka uzinzi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…