App inayoondoa programs kwenye android phones

App inayoondoa programs kwenye android phones

rasheed twaha

Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
28
Reaction score
2
Ohy wadau simu yangu ina apps nying ambazo ni useless kila nikiunistall zinaonekana tena i need your help
 

Tecno nyingi zina folder linaitwa "pre-installed" ambalo lipo kwenye root system (ambalo ni tofauti na "system>app"), kwa hiyo hata uki-uninstall hizo pre-installed apps zitarejea baada ya ku-reset simu, hivyo fanya rooting,then ufute system apps usizotumia (ila kuwa mwangalifu) na kisha ufute na hizo pre-installed.
Kama utahitaji ushauri popote pale utapokwama, kuna members wengi tu watachangia mawazo.
 
I guess ni Laucher yake inaleta hizo apps, usitumie sponsored launchers kama apex
 
Natumia apus luncher... Yaan kuna kama easy touch. Battery butter ni Mfano wa apps znazosumbua kutoka
 
hivi tecno ina root ika? Usije kujitia simanzi bure baada ya kui brick
 
Hamna simu isiyorootika... .mi niliroot sony experia na ndio zilikuwa notorious linapokuja swala la kuroot
 
Back
Top Bottom