Apartment for rent

Apartment for rent

Hii hapana kaka sio kweli .....kama unaweza kupanga apertment ya vyumba viwili kwa less than £ 100 London .......LONDON nimiongoni ya MIJI yenye Rent ya nyumba iliyo kuwa kubwa kuliko MIJI mingi MIKUBWA DUNIA .
Less than £100 per week haipo kodi hii unayo sema wewe laabda ili kuwapo miaka 20 au 30yrs iliyo pita sio sasa hivi.
 
Pengine London uswazi choka mbaya.
London kwa jina lingine inaitwa Greater London ni dunia ya kwanza mjomba. Husijidanganye, hamna slums za uswazi kama kwetu Dar.
 
Nenda East Ham au Brixton.
Kwahiyo una compair huko na kwenu uswazi? East Ham na Brixton ni well planned hamna slums wala uswahili except watu weusi na wahindi ni wengi maeneo hayo.
 
Kwahiyo una compair huko na kwenu uswazi? East Ham na Brixton ni well planned hamna slums wala uswahili except watu weusi na wahindi ni wengi maeneo hayo.

Ila kwa bei ya £ 400 kwa mwezi itakuwa ni nyumba iliyojaa panya na mende, nyumba zinazopangishwa na wadosi.
 
Nenda East Ham au Brixton.
Kabla ya immigrants kwenda London miji hiyo ya East Ham na Brixton ilikuwa wazungu watupu. Sasa unasema uswahili sababu ya uwepo wa watu weusi na wahindi? Waswahili ni watu waongeao kiswahili east africa siyo watu weusi wa UK au America.
 
Ila kwa bei ya £ 400 kwa mwezi itakuwa ni nyumba iliyojaa panya na mende, nyumba zinazopangishwa na wadosi.
Panya wako duniani kote. Panya akipata access ya kuingia kwenye nyumba anaingia hata ikiwa ya kifalme.
 
$550@ rate of 2270 eq 1,248,500 per Month *12 month =14,982,000 😉😉😉
 
Ila kwa bei ya £ 400 kwa mwezi itakuwa ni nyumba iliyojaa panya na mende, nyumba zinazopangishwa na wadosi.
Kuna nchi hisiyokuwa na panya? Labda uswazi kwenu hamna panya!
 
Ili mbongo wa kawaida aweze kupangisha hiyo apartment, inabidi awe na mshahara siyo chini ya $1200 kwa mwezi. Na ukiangalia wafanyakazi wa chini serikalini hawapati mishahara hiyo. Wakati wafanyakazi wazungu wa kima cha chini wanapata more than $1200 per month ktk nchi zao.
Wenzetu walio endelea wanajenga nyumba za council ili wananchi wao wapange kwa bei nafuu, wakati Shirika la nyumba (nhc) bongo linajenga kwa ajili ya matajiri. Ndiyo bongo yetu.
Unenielewa kwa kina aiseee ila Africa bado sana aiseee
 
Let's agree to agree that you are wrong. I'm talking oranges and you talking lemon.

At least I am not kowtowing to the colonials who bled the developing world dry. Used cheap labour and stole minerals and raw materials from Africa in order to build their Countries.

The Truth of the matter is, not all the so called "Developed" counties are squeaky clean. It is time to emancipate ourselves permanently from mental slavery. It is undeniably true that "the western countries" have better services etc, but it is not uncommon to meet people in the western world living in penurious environment.

How Europe undeveloped Africa by Walter Rodney will be a good book for you to read, Dambisa Moyo also wrote a good book titled dead aid.

By the way comparing oranges to lemon does not make much sense to me as they are both CITROUS fruits!. Apples are POMACEOUS fruits.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom