K kifarangaa Member Joined Jun 30, 2015 Posts 53 Reaction score 6 Sep 2, 2015 #1 Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kashfa mbalimbali kuhusu lowasa,mara fisadi,mgonjwa,tajiri,anamarafiki matajiri nk.yote hayo waseme lkn wananchi wanamkubali na hatudanganyiki ata awe icu cc ni mamvi tu!
Baadhi ya watu wamekuwa wakitoa kashfa mbalimbali kuhusu lowasa,mara fisadi,mgonjwa,tajiri,anamarafiki matajiri nk.yote hayo waseme lkn wananchi wanamkubali na hatudanganyiki ata awe icu cc ni mamvi tu!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,722 Sep 2, 2015 #2 oh yeeeaaah daima mbele nyuma mwiko ... ntakesha kituon kusubiri kumpigia kura tumechokaaaa
God bell JF-Expert Member Joined May 13, 2011 Posts 590 Reaction score 211 Sep 2, 2015 #3 Rais wetu tunaesubiri aapishwe ni Lowassa tu,hatutaji porojo zozote