Anywa sumu kisa Demu

lahaullah!!!katukosesha dili,watu8 mjasiriamali wa majeneza angekuwa keshapiga dili tayari.na mwaka mpya huu,dah!!

Heheh mkuu tushakosa dili hapa....

Ilam usijali tutapiga kambi karibu na mtaani kwao najua upoyoyo bado haujamtoka huyu...
 
haha kwa hiyo akufa uwiii? jinga huyo sasa mademu wengi kunywa sumu kisa demu au mwanaume upuuzi mtupu ... umechunwa kwani alikuwa amgongi si ngoma drooo hapo

hahah so wee una support kuwa kidume akiyumia pesa kwa demu sharti amgegede lol.
 
Hilo ndilo la muhimu kwn pasipo kuwaeleza ukweli ni kidonda kisichopona moyoni kila wakati
 
ni kweli Anna ni kweli kakosea lakini wakati Mwingine tujielekeze kuwaelewa wenzetu hata kama wamefanya makosa!

aise wewe umenena hapo...lazima uweze ku empathize ili uweze kuelewa y mtu anafikia hatua hiyo.
ebu nitafute pm nikupe zawadi yako
 
sumu hailambwi.....kujiua anataka huku anaogopa kufa sasa maziwa ya nini
 

Hayo ndio madhara ya kuwaza papuchi mda wote,
 
ni limbukeni2 huyo wanawake walivyojaa hivi!!!na kwan alinunua maziwa kama alikuwa anataka kufa kweli??mijitu mingine unatamani hata uipige panga....Kama alikuw anatak kukomoa angemwambia huyo demu wake aje getho achukue hela ya kusuka alaf amufoo saro2 ili wafe wote,damn it!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…