Jamani nina kiwanja changu 20m X 20m nataka kuweka nyumba vya kupangishwa kwa ajili ya maandalizi ya ada za sekondari kwa watoto wangu; kiwanja kipo Arusha, wapangaji wanapatikana nachoomba mwenye ubunifu maana natamani kujenga vyumba vya "double" vyenye choo ndani na shemu ya kupikia "corridor". Naomba msaada wa "design"