AVAST ndo demu wangu mwanzo mwisho
AVAST ndo demu wangu mwanzo mwisho
Avast niliiacha nilipo kutana na virus fignotok.A , Haikuweza kudetect, computer ilibadili mwenendo ikaanza kuwa na kiwewe. Ni Norton pekee ndo iliniokoa. Na mpaka sasa natumia Norton
inamaana huyo virus ni mkali sana? ninavyojua mimi trojan ndio virus wakali...ni kwweli?
Ila mbona hiyo Avast inakula mafaili sasa inauzudigani?
AVG Internet security nayo ipo pao sana !!