Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,079
Kifua kikuu au TB ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na vimelea viitwavyo Mycobacterium tuberculosis.
Yaliyomo
Dalili ya madhara ya kifua kikuu ni kama zifuatazo:
Kifua kikuu kinatibika na kupona kabisa kwa kupata dawa za zinazopatikana katika hospitali.
Chanzo: Kifua kikuu - Wikipedia, kamusi elezo huru
Yaliyomo
- 1 Kuna aina mbili za Kifua kikuu(TB)
- 2 Chanzo cha Maambukizi ya Kifua kikuu(TB)
- 3 Dalili ya TB ya Mapafu(Kifua kikuu)
- 4 Tiba
- 5 Marejeo
- 6 Viungo vya nje
- TB ya mapafu
- TB ya nje ya mapafu(hii hutokea sehemu yoyote ya mwili nje ya mapafu)
- TB ya mapafu imegawanyika sehemu mbili
- TB inayoambukiza (ambayo vimelea vinagunduliwa) katika makohozi(Kifua kikuu) ambayo ndio TB ya hatari zaidi na ni kiasi cha asilimia 90 ya aina zote za TB.
- TB isiyoambukiza na vimelea haviwi katika makohozi.
- TB inaambukizwa kwa njia ya hewa kutoka kwa mgonjwa mwenye Kifua kikuu kwenda kwa watu wengine. Hali hii hutokea hasa katika sehemu zenye msongamano wa watu au nymba ambazo hazipitishi hewa na mwanga wa kutosha.
Dalili ya madhara ya kifua kikuu ni kama zifuatazo:
- Kukohoa mfululizo kwa muda wa wiki mbili au zaidi
- Kutoa makohozi mazito au yaliyochanganyika na damu
- Kutokwa na jasho jingi kuliko kawaida usiku wakati mtu amelala
- Maumivu ya kufua
- Kukosa hamu ya kula
- Mwili kunyong'onyea na kuhisi uchovu bila ya sababu maalumu
- Homa za wakati wa jioni
- Kuishiwa na pumzi au kupumua kwa shida
Kifua kikuu kinatibika na kupona kabisa kwa kupata dawa za zinazopatikana katika hospitali.
Chanzo: Kifua kikuu - Wikipedia, kamusi elezo huru