mjunguonline
Member
- Mar 10, 2011
- 73
- 5
Wana "JF",mambo vp popote mlipo TZ.Mi ni mpenzi sana wa Filam za Kibongo.Kati ya wasanii ambao,nilikuwa navutiwa nao ki usanii ni pamoja na "ANTI EZEKIELI".
Kama kawaida ya wabongo wengi,wanapopata mafanikio kidogo tu,hupenda sifa.Ndivyo ilivyomtokea huyo mrembo.Ujue nini wazee,kwa sasa huyu binti,binafsi ananiboha sana.Kivipi,huyu binti,anapenda sana kuwatawala MADAIRECTOR wa filamu.Anavaa nguo zake za nusu uchi,hata kama kuna sehemu ambayo hakupaswa kuvaa hivyo.Mbaya zaidi,kamwe hataki kuigiza kama HOUSEGIRL.
Mi nawashauli MASTAA wa filamu nchini,wamtenge na kutomshirikisha katika kazi zozote za filamu nchini.Alafu tumuone hizo sifa zake atazitoa wapi.
Mbaya zaidi,jinsi anavyovaa,utafikili hana wazazi.Kwa mtu mwenye busara,kamwe huwezi kujidhalilisha mwili wako km anavyovaa huyo DEMU.
Magwiji wa filamu nchini,fanyeni kazi zenu katika maadili ya kitanzania.Acheni kuiga utamaduni wa AMERICA.
Kama kawaida ya wabongo wengi,wanapopata mafanikio kidogo tu,hupenda sifa.Ndivyo ilivyomtokea huyo mrembo.Ujue nini wazee,kwa sasa huyu binti,binafsi ananiboha sana.Kivipi,huyu binti,anapenda sana kuwatawala MADAIRECTOR wa filamu.Anavaa nguo zake za nusu uchi,hata kama kuna sehemu ambayo hakupaswa kuvaa hivyo.Mbaya zaidi,kamwe hataki kuigiza kama HOUSEGIRL.
Mi nawashauli MASTAA wa filamu nchini,wamtenge na kutomshirikisha katika kazi zozote za filamu nchini.Alafu tumuone hizo sifa zake atazitoa wapi.
Mbaya zaidi,jinsi anavyovaa,utafikili hana wazazi.Kwa mtu mwenye busara,kamwe huwezi kujidhalilisha mwili wako km anavyovaa huyo DEMU.
Magwiji wa filamu nchini,fanyeni kazi zenu katika maadili ya kitanzania.Acheni kuiga utamaduni wa AMERICA.