lumumba junior
Member
- May 23, 2014
- 48
- 20
mie naona hawa ndugu zetu waislam wapunguze kama sio kuacha kabisa itikadi za kipuuzi, leo unakuta shehe anayeheshimiwa anatukana wakristo na kuwakejeli hata kutuita makafiri alafu waamini wao wanashangilia na kumuona mtu wa maana kabisa haya ndio yaliyo tokea huko Bangui-Central African Republic pale waislam kupitia kikundi chao cha seleka chini ya kiongozi wao Michele Dotogia walipoamua kuipindua serikali ya Bozzize huku wakiwaua wakristo wasio na hatia na kuchoma makanisa bila ya sababu; kinachowatoke sasa waislam hawa hawana wa kumlaum baada ya pale vijana wa kikristo wakiona wao, ndugu, wazazi, viongozi wa makanisa wakiuwawa huku serikali ya mpito ya bwana Dotojia(yaani seleka) ikikaa na kufurahia ndipo wakaanzisha kikundi chao maarufu kama Anti Balaka ili kujilinda sasa ndo wanalipiza kisasi kwa kuwauwa wale walio waua jamaaa zao. Nasi hapa Tanzania tusifurahie pale tunaposikia dini flani ikikashfu dini nyingine yasije yakatokea haya ya Bangui