Kwa pambano hili bado sijaona bondia wa kumpiga tyson furry kwa mabondia wa sasa.joshua kwa furry hatoboi,hasa kama raund zitazidi 4.mbulgaria mvumilivu lakini kiufundi sio mzuri.Silaha kubwa ya AJ ni upper cut.
Kilichofanya AJ amcheleweshe Pulev ni ile style yake mbovu ya kupiga jab na kuhug, jamaa ana gameplan ya kukeraKwa pambano hili bado sijaona bondia wa kumpiga tyson furry kwa mabondia wa sasa.joshua kwa furry hatoboi,hasa kama raund zitazidi 4.mbulgaria mvumilivu lakini kiufundi sio mzuri.
Ila naona furry yuko smart vs joshua.kama watacheza pambano, AJ atapata tabu sana.Kilichofanya AJ amcheleweshe Pulev ni ile style yake mbovu ya kupiga jab na kuhug, jamaa ana gameplan ya kukera
Hakuna wa kumsimamisha Furry kwa sasa, kila siku anazidi kuwa fit.Kwa pambano hili bado sijaona bondia wa kumpiga tyson furry kwa mabondia wa sasa.joshua kwa furry hatoboi,hasa kama raund zitazidi 4.mbulgaria mvumilivu lakini kiufundi sio mzuri.
DDD yaani dubois? Jamaa huwa anakwepa sana mabondia mahiri,huwa anachagua mabondia wabovu ili kulinda rekodi .huwa tinamshambulia sana instagram,sasa juzi kati si kajichanganya kwa joyce! Kabondwa vibaya.DDD mzuri kwa mabondia wabovu.Hakuna wa kumsimamisha Furry kwa sasa, kila siku anazidi kuwa fit.
Ila kuna dogo anaitwa Daniel Dubois "the next tyson" atakuja kusumbua sana kwenye heavy weight boxing.
mkuu screpa uko macho now? maana hii link imekataa kabisa nataka niwatch McGregor Vs poirrie fight haitaki. Ya kwangu hesgoal.com Leo wamesema hawaoneshi. shida tupu.Kwa wazee wa streaming njooni hapa tujumuike kwa pamoja, ingia hii link game kubwa zote za Boxing utakuwa unaziona live buuure Boxing Streams Live
Basi nimeshapata chaka moja hivi screpamkuu screpa uko macho now? maana hii link imekataa kabisa nataka niwatch McGregor Vs poirrie fight haitaki. Ya kwangu hesgoal.com Leo wamesema hawaoneshi. shida tupu.