meku7 JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 375 Reaction score 266 Apr 11, 2016 #1 Rais JPM ametengua Nafasi ya ukuu wa mkoa wa shinyanga na katibu tawala wake.baada ya kusema uongo kuhusu watumishi hewa.
Rais JPM ametengua Nafasi ya ukuu wa mkoa wa shinyanga na katibu tawala wake.baada ya kusema uongo kuhusu watumishi hewa.
Rapherl JF-Expert Member Joined Jun 20, 2012 Posts 3,504 Reaction score 2,256 Apr 11, 2016 #2 Taarifa kama hiyo unaweka na source basi
A Asgar Member Joined Oct 19, 2014 Posts 23 Reaction score 6 Apr 11, 2016 #3 Hahahahaha kitaeleweka tu mwaka huu
meku7 JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 375 Reaction score 266 Apr 11, 2016 Thread starter #4 Rapherl said: Taarifa kama hiyo unaweka na source basi Click to expand... Breaking Newz Clouds Radio
meku7 JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 375 Reaction score 266 Apr 11, 2016 Thread starter #5 Asgar said: Hahahahaha kitaeleweka tu mwaka huu Click to expand... Kazi kweli kweli hata mwez hana....
Asgar said: Hahahahaha kitaeleweka tu mwaka huu Click to expand... Kazi kweli kweli hata mwez hana....
C casampeda JF-Expert Member Joined Jul 28, 2012 Posts 2,900 Reaction score 507 Apr 11, 2016 #6 si mchezo
Lancashire JF-Expert Member Joined Sep 20, 2014 Posts 14,082 Reaction score 10,454 Apr 11, 2016 #7 Hii zaidi ya kutumbuwa majipu aisee
Kiyoya JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,775 Reaction score 994 Apr 11, 2016 #8 kurugenzi zake zimemponza
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,936 Reaction score 10,560 Apr 11, 2016 #9 Mdomo uliponza kichwa