Tutaongea weee... lakini ukweli uko palepale, Anna/Anne hafai, hawezi na hatapata uspika wala unaibu spika... labda kubeba ile fimbo kila siku
Anne Kilango hafai kwa post ya uspika hawezi kutawala maono yake ni mtu wa kulipuka na kile kiti kinahitaji mtu mstahimilivu , msikivu na mwenye hekima vinginevyo na mapepe aliyonayo hataweza kuhimili misumari mizito toka kwa vijana machachari walioingia bungeni , kwa kifupi mimi nimewahi kufanya kazi maeneo ambayo kilango alikuwa ni mswaaa
Right,
Kama vile kujua kwamba William Malecela hawezi kuwa objective katika ku asses uwezo wa Anna Kilango-Malecela.
Unajua Kikwete kaharibu kila kitu nchi hii, Kikwete alivyofanikiwa kuwa rais basi kila mtu anataka kuwa kila kitu, kuanzia Zamaradi kutaka kuwa mbunge kama feel good confidence building therapy mpaka Anna Kilango-Malecela anapotaka kuwa Spika wa bunge.
It's open season, kinachotakiwa ni ambition tu, ambayo kila mwanasiasa na mtoto na mjukuu wake wanayo. Uwezo si jambo la msingi.
Kwa mawazo yako unadhani ni nani katulia Kiranga? hebu tupe jina tafadhari
Willam usitupotezee muda kujadili vitu ambavyo havipo kama Kilango kachukua fomu mwache achukue uspika haupati, demokrasia unayoiongelea haipo ndani ya CCM, muulize mzee Malecela atakueleza. Makamba and his company they know who is going to be next speaker, Kilango does not have credentials, CCM will always pick person who loyal to the party machine.
Toa marangirangi yako apa,,usitafute umaarufu mwepesi:A S angry:
Bwana malecela unafaa kuwa great thinker, maana haubishi bali unatohoa hoja na kujibu hoja, kwanza lazimatulitanbue hili la kuwa hero ktk group ya watu flani na bogus kwa wengine, siku zote huwezi kujumlisha kila siku ili tupate alama ya = ktk hesabu ni lazima matendo yote yakamilike,hata same mama kilango hajapata 100% kuna waliomkataa ambao kwao ni bogus, lakini ukweli utabaki kuwa amepita coz kura zimetosha for the same. Kuwa spika ni haki yake na anonyesha ni kiasi gani alivyo shujaa huyu mama, tunamjaji vibaya wakati kamati alizoziongoza bungeni zinakubalika, sas kama kiranja anaweza kuwa kiranja mkuu next term kwa nini m/kiti wa kamati bungeni asiwe spika baadae, tuwe wwerevu katika kudadavua hoja watu wamekalia ucc na chadema utadhani nini cjui
Mapepe matupu, Spika kazi inataka mtu aliyetulia ile. Mama ana ma beef kibao ndani na nje ya chama chake, mimi nilikuwa nataka mtu aliyetulia kuliko hata Sitta, kama choice ni huyu mama na Sitta bora hata Sitta.
Ultimately, tatizo la bunge letu na Uspika, ni institutional sheepism, na wala si swala la personality, kwa hiyo as long as CCM wana majority, hata aje Spika gani kutoka CCM atashikishwa adabu na the party machinery tu, kwa hiyo hesabu za personality change wala hazina maana. I hope the control will gradually slide away from CCM to balance power within parliament.
Upinzani wana candidate gani? Hardly a realistic shot for them though, with the current numbers.
Sheria ya Jamuhuri inasema mtanzania yeyote mwenye sifa zinazokubalika anaweza kuogombea nafasi ya spika wa bunge la jamuhuri na si lazima awe mbunge hata wewe William kama unajiona una sifa unaweza kugombea nafasi hiyo, kama unaongelea suala la mtu kuchukua fomu na kugombea hiyo ni haki ya kila mtu kikatiba , hapa tunachojadili ni Anna Kilango kuchaguliwa kuwa spika. Umeongelea suala la wananchi kusaidia kuwashauri wabunge wetu nani kumchagua kuwa spika hiyo haijawahi kutokea. Kuhusu Sitta kuchaguliwa kuwa spika, wakati wa kuteua mgombea wa CCM 2005 kulitokea mgawanyiko ndani ya CCM, kulikuwa na kundi la Malecela na kundi la kina Mkapa ambalo limsimamisha Kikwete. Kilichotokea baada ya chaguzi za bunge msuguano uliendelea ndani ya CCM kundi la kina Malecela ndilo lilomsaidia Sitta kushinda uspika, Kikwete alikuwa ni mwenyekiti mchanga wa ccm hangeweza kulizuia hilo, hiyo demokrasia unaoyoingelea haipo Tanzania kama ipo ipo kwenye vitabu, sifa za spika zipo kwenye sheria za bunge, hapa najadili CCM watamtaka mtu gani awe spika nadhanai wewe ndio hunielewi.
Mama Anne Kilango inasemekana amechukua fomu za kuwania uspika wa bunge,huyu mama alin'gaa sana kipindi kilichopita kwa ujasiri wake (sina uhakika) aliounyesha ,sasa huyu mama kaamua kuingia kwenye uspika , sijui kitu gani kimemshawishi kuingia huko
source:
Sitta, Anne, Anna... wachukua fomu kugombea Uspika -
ni kweli kabisa... Kikwete ahs made Anne look good...Unajua Kikwete kaharibu kila kitu nchi hii, Kikwete alivyofanikiwa kuwa rais basi kila mtu anataka kuwa kila kitu, kuanzia Zamaradi kutaka kuwa mbunge kama feel good confidence building therapy mpaka Anna Kilango-Malecela anapotaka kuwa Spika wa bunge.
It's open season, kinachotakiwa ni ambition tu, ambayo kila mwanasiasa na mtoto na mjukuu wake wanayo. Uwezo si jambo la msingi.
huyo mtu aliyetulia una maana gani? ivi spika ana kazi gani hasa mpaka awe mtu aliyetulia?