A man of God
Member
- Sep 5, 2015
- 65
- 14
Nimeona ITV, mama Ana Nghwira anasema kuwa watu wasifanye makosa tena ya kuipigia kura CCM. Amedai kuwa kwa sasa wanapaswa kuangalia zaidi vyama vya upinzani kuliko kuipigia CCM kwani katibu wake mkuu amethibitisha wazi kuwa CCm imeoza.
Katika kipindi hiki, ni vyama viwili tu vyenye nguvu CDM na CCM ambapo katika upinzani ni Chadema na hivyo kitendo cha mama kuomba watu waangalie upinzani, ni kupigia kampeni CDM.
Katika kipindi hiki, ni vyama viwili tu vyenye nguvu CDM na CCM ambapo katika upinzani ni Chadema na hivyo kitendo cha mama kuomba watu waangalie upinzani, ni kupigia kampeni CDM.