Ha ha ha ha, ukoo wa panya mnachekesha kweli kwani huko kuna watu wenye hoja au vioja? Kati ya hawa nani mwenye hoja? Lukuvi, wasira,Mwigulu, lusinde,Nkamia, komba, Ndugai, Makinda, Pinda,? Sioni hata mmoja anayeweza kuwa na hata 1% kati ya 100% za Tundu Lissu.