Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 226
Hivi haka katoto ka kwenye tangazo la MICHEPUKO SIYO DIRI kalikotibua mchepuko wa MAMA SOFI (ANKO KIDEVU)kama MAMA SOFI NI MAMA YAKE WA KAMBO-Baada ya hapo katakuwa kanaishi maisha gani baba wa mtoto ukiwa haupo?? Mi nahisi katakuwa kanawekwa kwenye BOX