Anko kidevu

Anko kidevu

Theodore Bagwell

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
940
Reaction score
226
Hivi haka katoto ka kwenye tangazo la MICHEPUKO SIYO DIRI kalikotibua mchepuko wa MAMA SOFI (ANKO KIDEVU)kama MAMA SOFI NI MAMA YAKE WA KAMBO-Baada ya hapo katakuwa kanaishi maisha gani baba wa mtoto ukiwa haupo?? Mi nahisi katakuwa kanawekwa kwenye BOX
 
Dogo atakuwa anaachwa hom, mama atampiga brake, hatoki naye tena. Kikawaida, mtoto "atakwambia" tu kama mwenzio anachepuka.
 
Hivi haka katoto ka kwenye tangazo la MICHEPUKO SIYO DIRI kalikotibua mchepuko wa MAMA SOFI (ANKO KIDEVU)kama MAMA SOFI NI MAMA YAKE WA KAMBO-Baada ya hapo katakuwa kanaishi maisha gani baba wa mtoto ukiwa haupo?? Mi nahisi katakuwa kanawekwa kwenye BOX
Kuna mengi sana ya kufikiria kuhusu hako katoto, lakini bahati nzuri hilo tukio ni la kuigiza tu! Lakini katika
maisha ya uhalisia hako katoto kengepata manyanyaso makubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom