Mtu ambaye hajawahi kuwa na mamlaka akipewa makubwa humlevya, angetumia zaidi trial and error kama approach yake katika kuongoza.
Washauri wangemshikia sana maamuzi yake, angekua anavimbiana sana na wanaompinga hii ni kutokana na kuhisi anadharaulika kutokana na kutokua na cv iliyoshiba kisiasa.