smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,109
Usiwe mgumu kuelewa soma kwa bidii, usiwe mvivu, tumesha fafanua sana hapo juu, na makala zilizopita, kina usajiri magumashi, ajira kupata ni ngumu, wanapenda fedha wanakufelisha maksudi ili wapate hela za supp,nk zisome? tutarudia mara ngapi kama tunaimba wimbo wa taifa, usio kuwa na chorus!Fafanua basi isijekuwa wewe ni miongon mwa wale waliopigwa disko ndio maana unaponda.
Hebu toa sababu kwanini ni kibaya na hakifai mtu kusoma. Kuwa kama msomi basi sio maneno mengine toa nondo za kutosha.
By the way ku disco ni kawimbo kadogo sana kwa msomi postively. unaweza kudiscodishwa maksudi kumbe ndo unapenyeshwa kwenye neema zaidi, weee vepe!

