ANGALIZO: Mnaoenda KIU mtegemee Haya

ANGALIZO: Mnaoenda KIU mtegemee Haya

silent_soldier

Senior Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
193
Reaction score
62
KIU ilikuwa na Matatizo 30 Huku Tatizo Kuu likiwa Kutokuwa na Usajili kwenye Mabaraza ya Taalumu. Tatizo hili liligundulika mara baada ya watu waliohitimu Diploma ya Famasia kunyimwa Ajira na Wizara ya Afya kwa kigezo kuwa Mtaala wa masomo waliotumia haukupitishwa na Baraza la Famasia na NACTE.

Tulijitahidi sana kupambana lakini huwezi kupambana na mwenyesime ukiwe umeshika makali na yeye kashika Mpini. Lakini nendeni mkakomae, muwe wavumilivu lakini haya mtayakuta.

1. Mtalipia Suplimentary 30000 kwa somo
2. Mtakuwa wanafunzi 300 ndani ya Darasa moja
3. Mtafelishwa ili mlipe hela ya Sup
4. Hakuna huduma nafuu za Chakula msosi kuanzia 1500
5. Waalimu na Wafanyakazi wengi wa kigeni ambao wanadharau kwa wanafunzi
6. Uhiano mbaya wa idadi ya wanafunzi na resources mbalimbali hususani vifaa vya maabara
7. Kusoma bila kuwa na mtaalamu makini, hutapata kujua Prospectus ya chuo
8. Kujinunulia kila kitu
9. Waalimu kuuza Lab Manuals, na Dissection Guides kama mradi bila kuwa na manufaa yoyote kwa wanafunzi

Naomba mnaofahamu zaidi msaidie kuendeleza

10.
 
hivi kiu ni chuo cha afya tu ....mbona hampambanui uozo uliopo kozi nyingine
 
mi naishi jirani na hiki chuo ...mlioapply hiki chuo badilisheni haraka sana but ni ushauri tu.
 
hahah___mkuu ungefanya ushauri before ndugu wengne awajui
 
hahah___mkuu ungefanya ushauri before ndugu wengne awajui

Hawa waliokuwa jkt ndo hawajui wanakuja washapanic habar za internet kuuliza hawajui .assume umekamatwa matatu 3×40000 in 120000 huwez kujua ugumu WA hili had use chuo
 
Hawa waliokuwa jkt ndo hawajui wanakuja washapanic habar za internet kuuliza hawajui .assume umekamatwa matatu 3×40000 in 120000 huwez kujua ugumu WA hili had use chuo

noma ssna___... Mungu awaepushi yote
 
Watu wameanza kuambiwa kuhusu Kampala siku nyingi lakini wao wanabisha..Issue imewashinda mawaziri na wabunge nyie mtaiweza wapi

Chuo ni international lakini kinadahili kupitia CAS na loan wanapewa.Chuo kinatumia mtaala wa Uganda lakini kipo kwenye Central Admission System

Chuo kina mapungufu kibao lakini TCU wamekiweka kwenye orodha yao.Mtasoma kwa mashakamashaka hadi lini sasa

Na kubwa kuliko yote,je Pharmacy Council na mabaraza mengine wamekubali kusajili?
 
Kwasasa jayo mambo hayapo...Malecture wa kigeno karibia wote wameondolewa,msiwatishie watoto......waje kwasasa KIUT Ni mahali salama
Kulipa sup nikawaida kwa chuo cha private
kutambulika chuo kinatambulika na waliomaliza degree za medical wapo intern na wengine walishamaluzaga na kuajiriwa

kuhusu kukaa darasani wengi sana is not a case now imeshakuwa controlled kitambo,kwasasa degree ya pharmacy ina dahili wanafunzi 75 tuu na degree ya medical lab

Walimu wapo wengi na wakutosha na niwazawa

Hakuna mtaala wakigeni unaotumika TCU walishakataa kitambo na unatumika mwingine sasa na huu ni mwaka wa nne toka mtaala ubadilushwe



Karibuni Kampala International University of Tanzania
 
Kwasasa jayo mambo hayapo...Malecture wa kigeno karibia wote wameondolewa,msiwatishie watoto......waje kwasasa KIUT Ni mahali salama
Kulipa sup nikawaida kwa chuo cha private
kutambulika chuo kinatambulika na waliomaliza degree za medical wapo intern na wengine walishamaluzaga na kuajiriwa

kuhusu kukaa darasani wengi sana is not a case now imeshakuwa controlled kitambo,kwasasa degree ya pharmacy ina dahili wanafunzi 75 tuu na degree ya medical lab

Walimu wapo wengi na wakutosha na niwazawa

Hakuna mtaala wakigeni unaotumika TCU walishakataa kitambo na unatumika mwingine sasa na huu ni mwaka wa nne toka mtaala ubadilushwe



Karibuni Kampala International University of Tanzania
Wabongo kwa kudanganyana na roho mbaya zao, mnataka tufe wengi siyo? tuchekane? na hao medicine wanaojazana darasani kibao
 
Hakuna mtaala wakigeni unaotumika TCU walishakataa kitambo na unatumika mwingine sasa na huu ni mwaka wa nne toka mtaala ubadilushwe

Mtaala wa Tanzania unaotumika ndo huo mwanafunzi undergraduate anasoma Shahada ya upasuaji (BMS)?
 
kabisa mkuu yaaani unakwenda kusomea umaskini, na hela unatoa. bora ukasome lugalo
Fafanua basi isijekuwa wewe ni miongon mwa wale waliopigwa disko ndio maana unaponda.
Hebu toa sababu kwanini ni kibaya na hakifai mtu kusoma. Kuwa kama msomi basi sio maneno mengine toa nondo za kutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom