Serikali hii ingekuwa inashaulika ingeacha maramoja kuruhusu uwindaji(professional hunting) hasa kwa wanyama kama simba na chui. Mimi nimejionea hunting block watu wanavyoua wanyama na askari wetu kule wanaweka sahihi kwa kupewa tip za dola 100
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.