Angalia walivyotekeleza mauji ya Amaduu

Angalia walivyotekeleza mauji ya Amaduu

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,905
Reaction score
9,335
Mamaduu alivyouwawa kinyama na ....[video=youtube_share;jzvsIhRBZcQ]http://youtu.be/jzvsIhRBZcQ[/video]
 
umeweka kitu kweli? au hang over ya viroba inanisumbua?
 
umeweka kitu kweli? au hang over ya viroba inanisumbua?
Mkuu mimi nawewe nani kala viroba au unatumia device za kichina nimekuwekea maana umeshangilia Kagame kuwauwa hawa!
 
Pk anaishi wa upanga atakufa kwa upanga pia
 
General Nyamwasa analindwa na "B.O.S.S"
 
mauaji ya nani tena mkuu, coz nimeshindwa kuiangalia on line network inasumbua
 
Mkuu mimi nawewe nani kala viroba au unatumia device za kichina nimekuwekea maana umeshangilia Kagame kuwauwa hawa!

mpaka sasa sijajua nani kala viroba, ila naona umwshindwa kuona ama kusoma vizuri bandiko langu; nisababu ya viroba nini?!!!
 
Last edited by a moderator:
Hao kwenye video ni askari au raia waliovalishwa nguo za kijeshi na kubebeshwa silaha? Askari gani analia lia hovyo? Askari halii hata siku moja.Ingekuwa mimi naongoza hicho kikosi waka-behave hivyo walivyo-behave kwenye hiyo video ningewaambia geukeni nyuma mrudi wakigeuka tu ningewamiminia risasi wote na nikaandika ripoti kuwa wamefia vitani.

Iko haja Kongo waombe JWTZ ipeleke wataaalamu wakafunze jeshi la kongo kama kweli askari wakongo wako hivyo.Kama kweli wanajeshi wa kongo wako mbede mbede hivyo kama inavyoonekana kwenye Video Kabila hana jeshi.Na huyo aliyeuawa si kanali wameua raia aliyekuwa kavaa vazi la kijeshi lenye vyeo vya kanali na hakuna cha kujisifia hapo mtu kusema kaua kanali.
 
Back
Top Bottom