Vapanga mdugu wane ITEGAMATWI?Hii yaweza kuwa story based in true story,nimeishi na naendelea kuishi nimeyaona zaidi ya haya.Can you imagine mtu kama huyu halafu anakuja kupata HIV then full blown AIDS,tena ile ya miaka 80's/90's ambayo mgonjwa aliyekua na kilo 100 anayekuja kuzikwa hata kwenye mfuko wa rambo anafit?Believe me,nimeona wadada/wakaka yakiwakuta hayo.Tujiombee na tuwaombee na wengine yasije tukuta/wakuta