jesse alibalio
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 268
- 49
Wakristo wawili,John na Paul walipotea jangwani.Wakawa na njaa sana.Mara ghafula wakaona Msikiti,John akasema tujiite majina ya kiislam ili yusaidiwe.John yeye akajiita Abdulmalik lakini Paul akakataa kubadili jina.
Kuingia maeneo ya msikiti Imam akawapokea vizuri na kuwauliza majina yao.
JOHN: "Naitwa Abdulmalk".
PAUL: "Naitwa Paul". Imam akamwambia mhudumu "kamletee Paul chakula na juisi,Abdulmalk pole na swumu we utasubiri wakati wa futru jioni.Tutafuturu pamoja".
shika sana ulicho nacho,imani yako itakuponya.
Kuingia maeneo ya msikiti Imam akawapokea vizuri na kuwauliza majina yao.
JOHN: "Naitwa Abdulmalk".
PAUL: "Naitwa Paul". Imam akamwambia mhudumu "kamletee Paul chakula na juisi,Abdulmalk pole na swumu we utasubiri wakati wa futru jioni.Tutafuturu pamoja".
shika sana ulicho nacho,imani yako itakuponya.