Proved JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 35,830 Reaction score 47,151 Mar 31, 2020 #21 mzabzab said: Acha zako wewe mwanamke mzuri na chura juu akaolewe na kapuku hio mie nataka niione. Mzuri namba moja wa tz aliolewa na bionea mbona hakuchukuliwa na kapuku Click to expand... Unaweza ukapata Mrembo wa kuoa hata kama ni kapuku muhimu nyota tu..πππ
mzabzab said: Acha zako wewe mwanamke mzuri na chura juu akaolewe na kapuku hio mie nataka niione. Mzuri namba moja wa tz aliolewa na bionea mbona hakuchukuliwa na kapuku Click to expand... Unaweza ukapata Mrembo wa kuoa hata kama ni kapuku muhimu nyota tu..πππ
M mzabzab JF-Expert Member Joined Aug 18, 2011 Posts 45,507 Reaction score 88,677 Mar 31, 2020 #22 Proved said: Unaweza ukapata Mrembo wa kuoa hata kama ni kapuku muhimu nyota tu..πππ Click to expand... Nalo neno nyota muhimu Bora kuzaliwa mwenye bahati kuliko mwenye kipaji
Proved said: Unaweza ukapata Mrembo wa kuoa hata kama ni kapuku muhimu nyota tu..πππ Click to expand... Nalo neno nyota muhimu Bora kuzaliwa mwenye bahati kuliko mwenye kipaji
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Mar 31, 2020 #23 Kabisa.... Superb2014 said: Inapendeza sana wote mkianza pamoja. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa.... Superb2014 said: Inapendeza sana wote mkianza pamoja. Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,121 Reaction score 14,033 Mar 31, 2020 #24 Equation x said: Mkuu tusikimbie ukweli,wenzetu wana hisia kali sana kwenye mahusiano lakini huku kwetu hisia ni biashara Click to expand... Hili ni kweli kwa asilimia nyingi
Equation x said: Mkuu tusikimbie ukweli,wenzetu wana hisia kali sana kwenye mahusiano lakini huku kwetu hisia ni biashara Click to expand... Hili ni kweli kwa asilimia nyingi
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,347 Reaction score 56,075 Mar 31, 2020 #25 Drone Camera said: Hili ni kweli kwa asilimia nyingi Click to expand... Kwa asilimia kubwa huku kwetu,mtu anakupa hisia zake kutokana na vitu,mfano fedha,mali n.k
Drone Camera said: Hili ni kweli kwa asilimia nyingi Click to expand... Kwa asilimia kubwa huku kwetu,mtu anakupa hisia zake kutokana na vitu,mfano fedha,mali n.k
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,121 Reaction score 14,033 Mar 31, 2020 #26 Equation x said: Kwa asilimia kubwa huku kwetu,mtu anakupa hisia zake kutokana na vitu,mfano fedha,mali n.k Click to expand... Yah ni kweli huku kwetu ukiwa navyo unawapata easy kabisa ila wale wenzetu wagumu kutoa aisee labda urafiki.
Equation x said: Kwa asilimia kubwa huku kwetu,mtu anakupa hisia zake kutokana na vitu,mfano fedha,mali n.k Click to expand... Yah ni kweli huku kwetu ukiwa navyo unawapata easy kabisa ila wale wenzetu wagumu kutoa aisee labda urafiki.